
Huu ni Mfano halisi wa my ring...ilikuwa exactly kama hiyo hapo juu,ilikuwa nzuri na ndogo sana.
I Dont know how and where but jana niliamka and kwa mara ya kwanza nikavua my ring,nikaenda kuoga coz nilikuwa na meeting na Tigo makau makuu kitengo cha masoko kwa ajili ya USIKU WA MELODY AND ROMANCE ambao mimi kama Diva Nimeandaa kupitia Clouds Fm Ala za Roho kwa ajili ya kutoa support ya muziki wa Taratibu wa Kizazi kipya wa Hapa Tanzania.niliamka mapema tu licha ya kuchelewa kulala ili nipate muda wa kujiandaa na kwenda Tigo makao makuu,Tigo watakuwa main sponsor wa Usiku huo na Clouds Tv pia ndo watakamilisha usiku huo amabao utafanya pia Marlaw a Lounge album yake mpya.
Was Not in hurry so.....
Nikaoga pale mwaego then sikumbuki yaani ilikuwaje but what i know is ghafla sikuiona hiyo peter iliokuwa ni ya gold na inawaka sana mbele ya vito vya diamond vidogo sana ila vina ngaa...
was in luv wit tha ring and kila wakati huwa nilikuwa nikiaangalia but ghafla sikuiona,Jamani mwee..tafuta tafuta na wewe,safisha chumba panga nguo upya wapi,nenda chooni fanya hivi na vile wapi,
Mpaka nikaanza ku sweat ,slow nikajisogeza katika kitanda jasho tiririka diva huyu ila wapi sijaiona..basi sikutaka chelewa nikaenda katika hicho kikao,was having a bad day for real coz was always missing tha ring na killa nikiangalia katika kidole holla,haipo....basi nifanyeje,theres a lot to do then nikaenda katika ofisini kuwajibika na kazi zingine za kujenga taifa but was dissapointed sana...
later my baby baba akaja pickin me up after Ala za roho and akanipa another silver round ring but kiukweli the first one was amazing thou this was a real silver and good one too but its really bad kupeteza that ring ambayo till now siioni wala sijui iko wapi ..
Is It A bad sign kweli??Maana sweetheart kasema na hii ukivua ikapotea na ukikaa nisipokuona umeivaa...hatutaelewana!!ila nahisi ni ishara mbaya kupoteza that ring and my friends wameniambia it is a bad sign,wengine wamesema shit happens so wish miracle itokee aisee nione hiyo ring jamani...I swear to God will be happy sana nikiiona...anyway
pls usisahau kuja katika melody and romance night ambayo itakupa nafasi ya kuwaona wale wote wanaoimba slow RnB wa hapa Tanzania....karibu!!